Thursday, July 23, 2009
HAYA MAMBO YA HABARI HAYOOOOOO
Waziri wa habari, utamaduni na michezo, Kapteni George Huruma Mkuchika akiongea na naibu wake Joel Nkaya Bendera bungeni mjini Dodoma, punde baada ya kuwasilisha bajeti ya wizara hiyo.
uandishi wa kiraia darasani
pichaa hizi zinaonesha wanafunzi wa kozi fupi ya uandishi wa kiraia, pale kituo cha mafunzo ya vijana kilichopo katika jengo la ofisi ya shirika la vijana TYC (Tanzania youth coalition)
mada juu ya blogu iliwezeshwa na Omulangira, Kamala Lutatinabigambobyabantu.
Subscribe to:
Posts (Atom)