Thursday, July 23, 2009

HAYA MAMBO YA HABARI HAYOOOOOO

Waziri wa habari, utamaduni na michezo, Kapteni George Huruma Mkuchika akiongea na naibu wake Joel Nkaya Bendera bungeni mjini Dodoma, punde baada ya kuwasilisha bajeti ya wizara hiyo.

uandishi wa kiraia darasani




pichaa hizi zinaonesha wanafunzi wa kozi fupi ya uandishi wa kiraia, pale kituo cha mafunzo ya vijana kilichopo katika jengo la ofisi ya shirika la vijana TYC (Tanzania youth coalition)




mada juu ya blogu iliwezeshwa na Omulangira, Kamala Lutatinabigambobyabantu.